Mkwaju wa penalti uliopigwa na Paul Pogba ukienda juu baada ya kuokolewa na kipa Rui Patricio dakika ya 68 Manchester United ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Uwanja wa Molineux, West Midlands. Penalti hiyo ilitolewa baada ya yeye mwenyewe, Pogba kuangushwa na Conor Coady kwenye boksi katika mchezo ambao Man United walitangulia kwa bao la A. Martial dakika ya 27 kabla ya Ruben Neves kuisawazishia Wolves dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Grand National: Cloth Cap favourite; Denise Foster steps in for Gordon Elliott
-
Denise Foster will step in for Gordon Elliott during the trainer's
suspension while Cloth Cap is now clear 6-1 favourite for next month's
Grand National af...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment