Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao lake la pili dakika ya 55 baada ya kufunga lingine dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya pili na Bernardo Silva dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment