Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao lake la pili dakika ya 55 baada ya kufunga lingine dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya pili na Bernardo Silva dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emmanuel Acho Announces He'll Host The Bachelor's 'After the Final Rose' Show
-
Former NFL player and current Fox Sports analyst Emmanuel Acho is going to
be hosting The Bachelor special "After the Final Rose" on March 15...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment