Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 15 na 64 katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Bournemouth Uwanja wa Vitality. Bao la pili la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 43, wakati la Bournemouth limefungwa na Harry Wilson dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United: Phil Chisnall, the last player to directly move to Liverpool, dies aged 78
-
In a statement, United said: 'It is with great sorrow that we learned of
the passing of former Manchester United player Phil Chisnall, who has died
at the ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment