Mshambuliaji Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Burnley leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor huo ukiwa ushindi wa 13 mfululizo kwenye ligi hiyo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Chris Wood aliyejifunga dakika ya 33 akijaribu kuokoa krosi ya Trent Alexander-Arnold na Roberto Firmino dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea suffer fresh blow as Enzo Fernandez will MISS the rest of the
season with groin injury... with £107m midfielder to undergo surgery to be
fit in time for the Copa America
-
Enzo Fernandez will miss the remainder of the Premier League season after
undergoing surgery to address a groin injury in time for the Copa America.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment