Mshambuliaji Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Burnley leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor huo ukiwa ushindi wa 13 mfululizo kwenye ligi hiyo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Chris Wood aliyejifunga dakika ya 33 akijaribu kuokoa krosi ya Trent Alexander-Arnold na Roberto Firmino dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bukayo Saka launches his own Nando's sauce! Arsenal's star man brings out
the 'PERi-PERi Saka Sauce' with his favourite flavours as he gears up for
England international duty
-
The Arsenal star has teamed up with the restaurant chain to produce the
'PERi-PERi Saka Sauce' with his most-loved flavours.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment