Teemu Pukki akishangilia baada ya kupiga hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 32, 63 na 75 katika ushindi wa Norwich City wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Bao la Newcastle limefungwa na Jonjo Shelvey dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Keepers: We need to respect Coventry
-
Two of our stoppers are clear on what United's mindset should be at Wembley
on Sunday.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment