WACHEZAJI wa Yanga SC kutoka kulia Lawrence Mwalusako, mchezaji mwalikwa kutoka Simba, Deo Njohole ‘OCD’, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Ramadhani Kilambo na Wastara Baribari aliyeipa mgongo kamera wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa kirafiki mwaka 1991 dhidi ya timu ya taifa ya Uganda Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1, Njohole akiisawazishia Yanga baada ya The Cranes kutangulia kwa bao la Majid Musisi (sasa marehemu).
MLB Rumors: Blake Snell, Giants Agree to 2-Year, $62M Contract amid Astros
Buzz
-
The San Francisco Giants snagged the best starting pitcher still on the
market, agreeing to terms with Blake Snell on a two-year, $62 million
contract,…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment