Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 49 kwa penalti na 58 katika ushindi wa Liverpool wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool limefungwa na Joel Matip dakika ya 41 na bao pekee la Arsenal limefungwa na Lucas Torreira dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Bucks' Jrue Holiday Likely to Return from Health Protocols vs. Clippers
-
The Milwaukee Bucks are expecting guard Jrue Holiday back in the lineup
Sunday after a three-week absence due to the league's health and safety
protocols, ...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment