Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 49 kwa penalti na 58 katika ushindi wa Liverpool wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool limefungwa na Joel Matip dakika ya 41 na bao pekee la Arsenal limefungwa na Lucas Torreira dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment