Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 49 kwa penalti na 58 katika ushindi wa Liverpool wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool limefungwa na Joel Matip dakika ya 41 na bao pekee la Arsenal limefungwa na Lucas Torreira dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment