Mshambuliaji wa Azam FC, Iddi Suleiman 'Nado' aliyekosekana kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii timu ikifungwa 4-2 na Simba SC Jumamosi iliyopita akiwa mazoezini kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Fasil Kenema kesho Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam
Beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo huo wa marudiano Raundi ya Kwanza
Mshambuliaji Muivory Coast, Richard Djodi akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo huo wa marudiano Raundi ya Kwanza
Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo dhidi ya Wahabeshi
Kocha Mrundi, Etienne Ndayiragijje anataka kuutumia mchezo wa kesho kupoza machungu ya kipigo cha Simba
MLB The Show 24 Review: Gameplay Videos, Features, Modes and Impressions
-
MLB The Show 24 from developer San Diego Studio is a little akin to a
championship club re-tooling its roster for continued success. The
long-running series…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment