• HABARI MPYA

    Friday, August 23, 2019

    IDDI NADO YUKO FITI KUCHEZA AZAM FC DHIDI YA FASIL KENEMA KESHO CHAMAZI

    Mshambuliaji wa Azam FC, Iddi Suleiman 'Nado' aliyekosekana kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii timu ikifungwa 4-2 na Simba SC Jumamosi iliyopita akiwa mazoezini kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Fasil Kenema kesho Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam 
    Beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo huo wa marudiano Raundi ya Kwanza 
    Mshambuliaji Muivory Coast, Richard Djodi akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo huo wa marudiano Raundi ya Kwanza 
    Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo dhidi ya Wahabeshi
    Kocha Mrundi, Etienne Ndayiragijje anataka kuutumia mchezo wa kesho kupoza machungu ya kipigo cha Simba
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IDDI NADO YUKO FITI KUCHEZA AZAM FC DHIDI YA FASIL KENEMA KESHO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top