Chipukizi wa England, Mason Mount akiifungia Chelsea bao la kuongoza dakika ya saba baada ya kiungo mwenzake, Mnigeria Wilfred Ndidi wa Leicester City kuanguka timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kusawazisha la Leicester City limefungwa na Ndidi dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
Test your knowledge on our history in the Emirates FA Cup last four, ahead
of Sunday’s Wembley outing.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment