Pierre-Emerick Aubameyang akiwanyooshea kidole mashabiki kufurahi nao baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 64 ikiilaza Burnley 2-1 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 13, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League to face employment tribunal next month after being accused
of racial discrimination by a former employee... with chief executive
Richard Masters set to be called as a witness
-
EXCLUSIVE BY SAMI MOKBEL: The Premier League will stand accused of racial
discrimination by a former member of their equalities department in court
next mo...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment