Gabriel Jesus akimlalamikia refa Michael Oliver baada ya kukataa bao lake la dakika ya mwisho, Manchester City ikilazimishwa sare ya 2-2 na Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Oliver alikataa bao hilo baada ya kutazama marudio ya picha za video (VAR) katika mchezo huo ambao mabao ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 20 na Sergio Aguero dakika ya 35 na ya Spurs yalifungwa na Erik Lamela dakika ya 23 na Lucas Moura dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers 3-0 St Mirren: Steven Gerrard's side are now just ONE POINT from the Scottish title
-
GRAEME CROSER AT IBROX: It's now close enough to touch. From the way
Gerrard's players celebrated, there was a public acknowledgment that ten
years of pain...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment