• HABARI MPYA

    Sunday, March 18, 2018

    ‘PUMZIKA KWA AMANI’ KOCHA MZIRAY, HAPA AKIWA NA NEMES NA CHINA TAIFA STARS 1990

    Kocha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taif Stars Syllersaid Kahema Mziray (sasa marehemu) akiwa na wachezaji, kipa Steven Casmir ‘Abdulmalik’ Nemes (kulia) na kiungo Athumani Abdallah Mchabwa ‘China’ katika kambi ya timu ya taifa mwaka 1990. Nemes na China wamevaa fulana za Kombe la Dunia 1990 nchini Italia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ‘PUMZIKA KWA AMANI’ KOCHA MZIRAY, HAPA AKIWA NA NEMES NA CHINA TAIFA STARS 1990 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top