Mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 55 ambalo linakuwa bao lake la 14 msimu huu katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Newcastle United leo Uwanja wa Anfield, bao la kwanza likifungwa na Mmisri, Mohamed Salah dakika ya 40, ambalo naye linakuwa bao lake la 32 katika msimu wake wa kwanza kwenye timu hiyo tangu awasili kutoka Roma ya Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Controversial footy star lands in trouble again after being charged over
drunken car crash
-
Curtis Scott has been charged by New South Wales police after the ex-NRL
player allegedly fled the scene of a drunken car crash at Bonnet Bay in
Sydney.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment