Mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 55 ambalo linakuwa bao lake la 14 msimu huu katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Newcastle United leo Uwanja wa Anfield, bao la kwanza likifungwa na Mmisri, Mohamed Salah dakika ya 40, ambalo naye linakuwa bao lake la 32 katika msimu wake wa kwanza kwenye timu hiyo tangu awasili kutoka Roma ya Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City thrash Brighton to go second in table
-
Manchester City move to within one point of Premier League leaders Arsenal
by thrashing Brighton 4-0 at Amex Stadium.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment