Cesc Fabregas na wachezaji wenzake wa Chelsea wakiwa hoi baada ya kufungwa bao la tatu, wakichapwa 3-0 na AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 51, Junior Stanislas dakika ya 64 na Nathan Ake dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Bill Belichick Plans to Write Book on Unknown Topic After Patriots
Exit
-
Bill Belichick wasn't known for being a wizard with words in front of a
microphone, but he may have been storing it all up to get out in written
form now t...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment