Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akiwa ameinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam baada ya kuwasili kutoka Mwanza ambako jana walicheza mechi yao ya mwisho ya ligi hiyo na kufungwa 1-0 na wenyeji, Mbao FC
Wachezaji wa Yanga, Hassan Kessy na Deo Munishi 'Dida' wakipiga picha na mashabiki
Sherehe za ubingwa wa Yanga kuelekea makao makuu ya klabu, Jangwani
Wachezaji wakifurahia na mashabiki wao
Shabiki wa kike akiusindikiza msafara kwa bajaji
Wachezaji wa Yanga wakifurahia kwenye gari
ASHES BREAKFAST: England toil in the searing heat, the moment that summed
up their malaise - and why the legendary Richie Benaud remains the greatest
commentator of all-time
-
OLIVER HOLT IN BRISBANE: England were sauteed in the sweltering heat of
deeply frustrating opening session at the Gabba on Saturday afternoon.
48 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment