• HABARI MPYA

    Monday, May 22, 2017

    YANGA WALIVYOREJEA DAR NA KOMBE LAO LA UBINGWA WA LIGI KUU

    Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akiwa ameinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam baada ya kuwasili kutoka Mwanza ambako jana walicheza mechi yao ya mwisho ya ligi hiyo na kufungwa 1-0 na wenyeji, Mbao FC
    Wachezaji wa Yanga, Hassan Kessy na Deo Munishi 'Dida' wakipiga picha na mashabiki
    Sherehe za ubingwa wa Yanga kuelekea makao makuu ya klabu, Jangwani
    Wachezaji wakifurahia na mashabiki wao
    Shabiki wa kike akiusindikiza msafara kwa bajaji
    Wachezaji wa Yanga wakifurahia kwenye gari

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA WALIVYOREJEA DAR NA KOMBE LAO LA UBINGWA WA LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top