• HABARI MPYA

    Sunday, May 21, 2017

    KANE APIGA HAT TRICK NA KUBEBA 'KIATU CHA DHAHABU' ENGLAND

    Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Tottenham katika ushindi wa 7-1 dhidi ya wenyeji Hull City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England Uwanja wa KCOM hivyo kufanikiwa kumaliza mfungaji bora wa ligi kwa mabao yake 29. Kane alifunga dakika za 11, 13 na 72 wakati mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Dele Alli dakika ya 45 na ushei, Victor Wanyama dakika ya 69, Ben Davies dakika ya 84 na Toby Alderweireld dakika ya 87, wakati la kufutia machozi la Hull City limefungwa na  Sam Clucas dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE APIGA HAT TRICK NA KUBEBA 'KIATU CHA DHAHABU' ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top