Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Tottenham katika ushindi wa 7-1 dhidi ya wenyeji Hull City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England Uwanja wa KCOM hivyo kufanikiwa kumaliza mfungaji bora wa ligi kwa mabao yake 29. Kane alifunga dakika za 11, 13 na 72 wakati mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Dele Alli dakika ya 45 na ushei, Victor Wanyama dakika ya 69, Ben Davies dakika ya 84 na Toby Alderweireld dakika ya 87, wakati la kufutia machozi la Hull City limefungwa na Sam Clucas dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford's rollercoaster career: A dream start with two goals in Man
United victory, campaigning against child poverty, a 12-hour tequila bender
and social media abuse
-
The forward has had a difficult season on the pitch, failing to match the
achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign, scoring eight
times...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment