Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Hispania kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Malaga leo Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga katika mchezo wa mwisho wa La Liga. Mabao ya Real Madrid ambayo wiki ijayo itamenyana na Juventus katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya pili na Karim Benzema dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Schefter: Falcons HC 'Truly Loved' Michael Penix Jr. Despite Kirk Cousins
Contract
-
Even though the Atlanta Falcons stunned the world by selecting Michael
Penix Jr. with the No. 8 pick in the 2024 NFL draft on Thursday night, it
was not a…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment