Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Hispania kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Malaga leo Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga katika mchezo wa mwisho wa La Liga. Mabao ya Real Madrid ambayo wiki ijayo itamenyana na Juventus katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya pili na Karim Benzema dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gilgeous-Alexander's 33 points in 3 quarters power Thunder to 14th straight
win
-
OKLAHOMA CITY (AP) — Shai Gilgeous-Alexander scored 33 in three quarters,
and the Oklahoma City Thunder defeated the Dallas Mavericks 132-111 on
Friday nig...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment