Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kukosa penalti dakika ya 70 timu yake ikishinda 4-2 dhidi ya Eibar katika mchezo wa mwisho wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barca yamefungwa na David Junker aliyejifunga dakika ya 63, Luis Suarez dakika ya 74 na Messi mawili, moja kwa penalti dakika ya 75 na lingine dakika ya 90 na ushei, wakati ya wageni yalifungwa na Takashi Inui dakika za saba na 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: The search for Dan Ashworth's replacement approaches
its final phase, Lewis Miley is set to miss the rest of the season... while
Toon stars celebrated Spurs win with the Wealdstone Raider!
-
CRAIG HOPE: Newcastle's players celebrated last Saturday's 4-0 win over
Tottenham in the company of The Wealdstone Raider, their unofficial minder
for the ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment