Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kukosa penalti dakika ya 70 timu yake ikishinda 4-2 dhidi ya Eibar katika mchezo wa mwisho wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barca yamefungwa na David Junker aliyejifunga dakika ya 63, Luis Suarez dakika ya 74 na Messi mawili, moja kwa penalti dakika ya 75 na lingine dakika ya 90 na ushei, wakati ya wageni yalifungwa na Takashi Inui dakika za saba na 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Ashes LIVE: Aussie commentator apologises for his VERY rude swipe at
England
-
Get all the latest scores and updates as Ben Stokes's England team try to
bounce back after a mistake-riddled day two in Brisbane.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment