Kinda Josh Harrop akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la United limefungwa na Paul Pogba dakika ya 19 na United imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Samir Nasri mocked by fans after claiming Emiliano Martinez's 'behaviour
annoys me'...as he reveals what the Aston Villa goalkeeper was really like
at Arsenal
-
Martinez shushed the crowd and gestured towards the home fans as Villa won
on penalties away to Lille to reach the semi-finals of the Europa
Conference Lea...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment