Kinda Josh Harrop akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la United limefungwa na Paul Pogba dakika ya 19 na United imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton suffers heavy CRASH during final practice ahead of Abu Dhabi
Grand Prix as nightmare debut season with Ferrari hits fresh low
-
Lewis Hamilton's nightmare debut season with Ferrari is showing no signs of
abating after the seven-time world champion suffered a heavy crash in third
pra...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment