• HABARI MPYA

    Sunday, May 21, 2017

    MAN UNITED YAMALIZA LIGI NA USHINDI WA 2-0 NYUMBANI

    Kinda Josh Harrop akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester United dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la United limefungwa na Paul Pogba dakika ya 19 na United imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAMALIZA LIGI NA USHINDI WA 2-0 NYUMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top