Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp akikimbia kushangilia baada ya Adam Lallana kuifungia timu hiyo bao la tatu dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Middlesbrough leo uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England hivyo kujihakikishia nafasi ya nne na kukata tiketi ya Ligi ya Mabingwa. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 45 na ushei na Philippe Coutinho dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aston Villa vs Arsenal - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as injury-hit Gunners look to extend lead at the top
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Aston Villa host Arsenal at Villa Park in the Premier League.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment