Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia na tuzo yake ya ufungaji bora wa Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga baada ya kumaliza na mabao 31 kufuatia jana kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Werder Bremen na Mgabon huyo mwenye umri wa miaka 27 kumzidi mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski katika kinyang'anyiro cha tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U17 will Einzug ins Halbfinale um die Deutsche Meisterschaft absichern
-
Während Borussias U17 Sonntag im Gastspiel bei Borussia Mönchengladbach (11
Uhr) auch die letzten theoretischen Zweifel am Einzug ins Halbfinale um die
Deu...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment