Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia na tuzo yake ya ufungaji bora wa Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga baada ya kumaliza na mabao 31 kufuatia jana kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Werder Bremen na Mgabon huyo mwenye umri wa miaka 27 kumzidi mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski katika kinyang'anyiro cha tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Angry Mohamed Salah launches stunning tirade against Arne Slot and
Liverpool hierarchy
-
Salah accused the club of trying to ‘blame’ him for Liverpool’s struggles
this season and hinted his time at the club was over
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment