• HABARI MPYA

    Sunday, May 21, 2017

    AUBAMEYANG MFALME WA MABAO BUNDESLIGA, AMFUNIKA LEWANDOWSKI

    Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia na tuzo yake ya ufungaji bora wa Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga baada ya kumaliza na mabao 31 kufuatia jana kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Werder Bremen na Mgabon huyo mwenye umri wa miaka 27 kumzidi mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski katika kinyang'anyiro cha tuzo hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AUBAMEYANG MFALME WA MABAO BUNDESLIGA, AMFUNIKA LEWANDOWSKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top