Beki wa kulia wa Crystal Palace, Joel Ward akimdhibiti mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Lukaku alianza kuifungia bao la Everton kablaa ya Christian Benteke kuisawazishia Palace timu hizo zikitoka sare ya 1-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heat's Kevin Love Says He Doesn't Want to Retire Ahead of Contract Option
Decision
-
Veteran power forward Kevin Love is in the twilight of his career, but he's
not ready to call it quits just yet. Love, who holds a $4 million player
option...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment