• HABARI MPYA

    Saturday, October 01, 2016

    LUKAKU, BENTEKE WOTE WAFUNGA PALACE NA EVERTON ZIKITOKA SARE YA 1-1

    Beki wa kulia wa Crystal Palace, Joel Ward akimdhibiti mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Lukaku alianza kuifungia bao la Everton kablaa ya Christian Benteke kuisawazishia Palace timu hizo zikitoka sare ya 1-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU, BENTEKE WOTE WAFUNGA PALACE NA EVERTON ZIKITOKA SARE YA 1-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top