Beki wa England, Gary Cahill akijaribu kuupitia mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Urusi, Fedor Smolov katika mchezo wa Kundi B Euro 2016 usiku wa Jumamosi Uwanja wa Stade Velodrome, Marseille, Ufaransa. Timu hizo zimetola sare ya 1-1, England wakitangulia kwa bao la Eric Dier dakika ya 73, kabla ya Vasili Berezutski kuisawazishia Urusi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool Confidential Q&A special: Who are the Reds looking at to replace
Mohamed Salah? Where next for the Egyptian King? What's the latest on Xabi
Alonso? And which positions are the club trying to strengthen this summer?
-
It was a story which sent shockwaves through the sport as Mohamed Salah
announced he was to leave Liverpool this week. So, where next for the
legendary pla...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment