• HABARI MPYA

    Wednesday, June 15, 2016

    URENO YA RONALDO YALAZIMISHWA SARE NA ICELAND, 1-1 EURO 2016

    Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo (kuia) akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Iceland, Kolbeinn Sigthorsson katika mchezo wa Kundi F Euro 2016 Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Luis Nani akianza kuifungia Ureno kabla ya Birkir Bjarnason kuisawazishia Uceland. Mchezo mwingine wa Kundi F jana, Hungary iliifunga Austria 2-0, mabao ya Adam Szalai na Zoltan Stieber Uwanja wa Matmut Atlantique, Ufaransa  PICHA ZAIDI GONGA HAPA  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: URENO YA RONALDO YALAZIMISHWA SARE NA ICELAND, 1-1 EURO 2016 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top