Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo (kuia) akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Iceland, Kolbeinn Sigthorsson katika mchezo wa Kundi F Euro 2016 Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Luis Nani akianza kuifungia Ureno kabla ya Birkir Bjarnason kuisawazishia Uceland. Mchezo mwingine wa Kundi F jana, Hungary iliifunga Austria 2-0, mabao ya Adam Szalai na Zoltan Stieber Uwanja wa Matmut Atlantique, Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City 'handling pressure' of WSL title race with 'statement' win
-
Manchester City's manager Andree Jeglertz says he "enjoyed" his side's
performance in a dominating win at Manchester United that edges them closer
to a fir...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment