Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo (kuia) akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Iceland, Kolbeinn Sigthorsson katika mchezo wa Kundi F Euro 2016 Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Luis Nani akianza kuifungia Ureno kabla ya Birkir Bjarnason kuisawazishia Uceland. Mchezo mwingine wa Kundi F jana, Hungary iliifunga Austria 2-0, mabao ya Adam Szalai na Zoltan Stieber Uwanja wa Matmut Atlantique, Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
Ahead of our latest clash with Sheffield United, test your knowledge of our
previous encounters with the South Yorkshire outfit.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment