Nyota wa Ubelgiji, Eden Hazard akimiliki mpira mbele ya Perparim Hetemaj wa Finland katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Euro 2016 Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussel timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la Finland likifungwa na Kasper Hamalainen dakika ya 53, kabla ya Romelu Lukaku kusawazisha dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua vs Jake Paul LIVE: Scorecard and round-by-round updates as
the former two-time heavyweight world champion controversially enters the
ring with YouTuber turned boxer
-
Follow all the action as Jake Paul and Anthony Joshua go head-to-head at
Miami's Kaseya Center in a blockbuster showdown being watched by more than
50 mill...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment