Kipa wa Lyon, Anthony Lopes (katikati) akiwasaidia walinzi kuondoa karayasi kwenye Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais usiku wa Ijumaa wakati wa mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Nice. Mchezo huo ulisimama dakika ya 70 baada ya mashabiki kutupia karatasi nyingi uwanjani hadi zilipoondolewa ukaendelea na kumalizika kwa sare ya 1-1. Valere Germain alianza kuifungia NIce kabla ya Alexandre Lacazette kuwasawazishia Lyon, ambao dakika ya 25 walimpoteza mshambuliaji wao, Maxwel Cornet aliyetolewa kwa kadi nyekundu kwa mchezo mbaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England's Cokayne returns for Grand Slam decider
-
England make two injury-enforced changes to face France in their Grand Slam
decider on Saturday in Bordeaux.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment