Raphael Varane akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 34 na 53 kabla ya Luka Modric kufunga la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Getafe kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez, hivyo kurejea kileleni sasa wakiizidi pointi moja Barcelona ambayo usiku huu inamenyana na Espanyol PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'There's a lot of room for improvement' - Allen
-
Mark Allen says the second session against Robbie Williams was a 'bit of a
struggle' as he won 10-6 in the first round at the World Championship.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment