SAMATTA AANZA KUJIFUA ASTON VILLA IKIJIANDAA KUIVAA LEICESTER CITY JUMANNE
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akimiliki mpira kwenye mazoezi ya klabu yake, vwanja vya Bodymoor Heath, jirani na Kingsbury, Kaskazini mwa Warwickshire.
Samatta aliyesajiliwa Aston Villa wiki hii kwa dau la Pauni Milioni 10 kutoka KRC Genk ya Ubelgiji anatarajiwa kuanza kazi rasmi katika klabu yake hiyo mpya Jumanne itakapomenyana na Leicester City katika Kombe la Ligi England
U23 beendet in Mönchengladbach die Englische Woche
-
Nach den beiden Top-Spielen gegen Fortuna Köln und Preußen Münster geht es
für Borussia Dortmunds U23 am Samstagnachmittag gegen die U23 von Borussia
Mönch...
FUFA Polls: Magogo declares intentions to contest
-
Incumbent FUFA President, Eng. Moses Magogo has on Tuesday declared
intentions to contest as head of the football governing body in Uganda. Mr.
Magogo re...
Guber election. Bauchi students endorse pate
-
Paul Orude, Bauchi Coalition of Bauchi State Students and Youths Movement
has endorsed Dr Muhammad Ali Pate of the People’s Democratic Party (PDP)
for ...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment