Nyota wa zamani wa klabu ya Simba, kipa Juma Kaseja (kushoto) na beki Boniface Pawasa (kulia) ni miongoni mwa makocha 30 waliojitokeza kushiriki Kozi ya siku 28 ya Diploma C ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) inayoendelea makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Karume, Ilala, Dar es Salaam
England beat New Zealand in T20 series opener
-
Heather Knight's 63 from 39 balls set up a comfortable win for England in
the first T20 against New Zealand.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment