Nyota wa zamani wa klabu ya Simba, kipa Juma Kaseja (kushoto) na beki Boniface Pawasa (kulia) ni miongoni mwa makocha 30 waliojitokeza kushiriki Kozi ya siku 28 ya Diploma C ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) inayoendelea makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Karume, Ilala, Dar es Salaam
Wolves: Pedro Neto to MISS Euro 2020 as he prepares for knee surgery
-
Pedro Neto suffered a 'significant injury' to his knee cap in the 1-0 win
at Fulham last Friday night that means he will not play again until the
initial p...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment