Roberto Firmino (kulia) akishangilia na beki Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza Wolverhampton Wanderers 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux. Liverpool ilitangulia kwa bao la Jordan Henderson dakika ya nane kabla ya Raul Jimenez kuisawazishia Wolves dakika ya 51 na kwa ushindi huo, Kops wanaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 16 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erst das U17-Derby, dann die Meisterschafts-Endrunde
-
Borussias U17 bestreitet am Samstag (13 Uhr) mit dem Duell gegen Schalke 04
das letzte Spiel der B-Junioren-Bundesliga West und hat schon das
Halbfinale um...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment