Roberto Firmino (kulia) akishangilia na beki Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza Wolverhampton Wanderers 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux. Liverpool ilitangulia kwa bao la Jordan Henderson dakika ya nane kabla ya Raul Jimenez kuisawazishia Wolves dakika ya 51 na kwa ushindi huo, Kops wanaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 16 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment