Wachezaji wa Pilsner, beki Andrew Godwin (kulia) na kiungo Abdallah Suleiman ‘Kaburu’ (kushoto) wakimuinua mwenzao, Jamhuri Kihwelo kufurahia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya vigogo, Simba SC kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru). Mabao ya Pilsner yalifungwa na Said Mrisho ‘Zico wa Kilosa’ (sasa marehemu) na Athanas Michael, wakati la Simba lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia).
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment