Wachezaji wa Pilsner, beki Andrew Godwin (kulia) na kiungo Abdallah Suleiman ‘Kaburu’ (kushoto) wakimuinua mwenzao, Jamhuri Kihwelo kufurahia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya vigogo, Simba SC kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru). Mabao ya Pilsner yalifungwa na Said Mrisho ‘Zico wa Kilosa’ (sasa marehemu) na Athanas Michael, wakati la Simba lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia).
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment