• HABARI MPYA

    Sunday, January 26, 2020

    NYOTA WA PILSNER WAKIFURAHIA KUICHAPA SIMBA SC 2-1 1988 TAIFA

    Wachezaji wa Pilsner, beki Andrew Godwin (kulia) na kiungo Abdallah Suleiman ‘Kaburu’ (kushoto) wakimuinua mwenzao, Jamhuri Kihwelo kufurahia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya vigogo, Simba SC kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru). Mabao ya Pilsner yalifungwa na Said Mrisho ‘Zico wa Kilosa’ (sasa marehemu) na Athanas Michael, wakati la Simba lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia).
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOTA WA PILSNER WAKIFURAHIA KUICHAPA SIMBA SC 2-1 1988 TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top