Refa Kevin Friend akimuonyesha Nemanja Matic wa Manchester United kadi nyekundu dakika ya 76 baada ya kumuonyesha kadi ya njano ya pili kwa kumchezea rafu Ilkay Gundogan wa Manchester City kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Etihad. Manchester United ilishinda 1-0, bao pekee la Matic dakika ya 35, lakini ni Manchester City inayokwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kushinda 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Old Trafford Januari 7 na itamenyana na Aston Villa Machi 1, Uwanja wa Wembley, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula One team announce star will leave at the end of the season... with
18-year-old British sensation Oliver Bearman in pole position to replace him
-
A door opened and a seat became available on Friday for British teenager
Ollie Bearman to secure a place on the Formula One grid next season.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment