Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Yustino Ndugai akikata utepe wakati wa uzinduzi wa tawi la klabu hiyo Bungeni mjini Dodoma mapema leo uliokwenda sambamba na uzinduzi wa Kadi za Mashabiki Kanda ya Kati, ambazo zinatolewa kwenye matawi yote ya benki ya Equity nchini
Job Ndugai ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kongwa kwa tiketi ya chama tawala, CCM alishiriki mazoezi yote mawili
Job Ndugai ni shabiki mzuri wa klabu ya Simba
Cameron Bancroft to MISS Sheffield Shield final after freak biking accident
sees former Australia star sidelined for crucial game
-
The star batter fell off his bike and has been ruled out due to a head
injury, in a bitter blow for WA ahead of the final against Tasmania,
scheduled for T...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment