Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Yustino Ndugai akikata utepe wakati wa uzinduzi wa tawi la klabu hiyo Bungeni mjini Dodoma mapema leo uliokwenda sambamba na uzinduzi wa Kadi za Mashabiki Kanda ya Kati, ambazo zinatolewa kwenye matawi yote ya benki ya Equity nchini
Job Ndugai ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kongwa kwa tiketi ya chama tawala, CCM alishiriki mazoezi yote mawili
Job Ndugai ni shabiki mzuri wa klabu ya Simba
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment