• HABARI MPYA

    Sunday, January 26, 2020

    TYSON FURY NA WILDER WAENDELEA KUTAMBIANA KUELEKEA FEBRUARI 22

    Tyson Fury (kulia) na Deontay Wilder (kushoto) wakitambiana wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari jana kuelekea pambano lao la marudiano Februari 22 ukumbi wa MGM Grand Garden Arena Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano la kwanza miezi 14 iliyopita nchini humo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TYSON FURY NA WILDER WAENDELEA KUTAMBIANA KUELEKEA FEBRUARI 22 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top