Nicolas Pepe wa Arsenal akienda chini baada ya kuangushwa na Jack O'Connell wa Sheffield United kwenye boksi, lakini refa Mike Dean hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Gabriel Martinelli alianza kuifungia Arsenal dakika ya 45 kabla ya John Fleck kuisawazishia Sheffield United dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment