Nicolas Pepe wa Arsenal akienda chini baada ya kuangushwa na Jack O'Connell wa Sheffield United kwenye boksi, lakini refa Mike Dean hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Gabriel Martinelli alianza kuifungia Arsenal dakika ya 45 kabla ya John Fleck kuisawazishia Sheffield United dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag 'will see his pay cut by a QUARTER' if Man United fail to make
next season's Champions League as Dutch coach fights to save his job
-
The Dutch coach is under intense pressure with United likely to fall short
of a top four finish in the Premier League and a place in Europe's top
competition.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment