Nicolas Pepe wa Arsenal akienda chini baada ya kuangushwa na Jack O'Connell wa Sheffield United kwenye boksi, lakini refa Mike Dean hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Gabriel Martinelli alianza kuifungia Arsenal dakika ya 45 kabla ya John Fleck kuisawazishia Sheffield United dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
North Carolina Routs Duke 91-73 to Sweep ACC Rivalry's Season Series
-
North Carolina made quick work of Duke for a 91-73 victory at the Dean
Smith Center on Saturday as UNC finished off a season sweep over its bitter
rival...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment