Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania chini ya umri wa miaka U17 wakifanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Intwari, Bujumbura leo kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Burundi
Mabinti wa Kitanzania wanahitaji hata sare au kufungwa si kwa tofauti ya zaidi ya mabao mawili, baada ya ushindi wa 5-1 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Mabinti wa Kitanzania wanahitaji hata sare au kufungwa si kwa tofauti ya zaidi ya mabao mawili, baada ya ushindi wa 5-1 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
0 comments:
Post a Comment