Gabriel Jesus akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 72 na 75 kufuatia Ilky Gundogan kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya nane na Bernardo Silva la pili dakika ya dakika ya 19 katika ushindi wa 4-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Odorizzi, Astros Reportedly Agree to 2-Year Contract
-
Free-agent pitcher Jake Odorizzi has reportedly agreed to a two-year
contract with the Houston Astros . ESPN's Jeff Passan reported the deal
between Odoriz...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment