Gabriel Jesus akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 72 na 75 kufuatia Ilky Gundogan kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya nane na Bernardo Silva la pili dakika ya dakika ya 19 katika ushindi wa 4-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Mavs' Jason Kidd 'Hopeful' for Contract Extension in 2024
Offseason
-
Jason Kidd is looking to remain the head coach of the Dallas Mavericks for
the foreseeable future. Kidd, who is under contract through the 2024-25
season, is…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment