Beki wa Real Madrid, Nacho akipongezwa na Nahodha, Sergio Ramos (kulia) na kocha Zinedine Zidane (kushoto) baada ya kuifungia bao pekee timu hiyo dakika ya 78 ikiwalaza 1-0 wenyeji, Real Valladolid Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla na kupanda kileleni mwa La Liga, sasa wakiwazidi pointi tatu mabingwa watetezi, Barcelona (46-43) baada ya wote kucheza mechi 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cameron Bancroft to MISS Sheffield Shield final after freak biking accident
sees former Australia star sidelined for crucial game
-
The star batter fell off his bike and has been ruled out due to a head
injury, in a bitter blow for WA ahead of the final against Tasmania,
scheduled for T...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment