Kipa Beno Kakolanya akiwaongoza wachezaji wenzake wa Simba SC kutoka eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kituo cha pili baada ya kuwasili Jijini Dar es Salaam mapema leo wakitokea Mwanza ambako walikuwa wana mechi mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC waliyoshinda 2-1 na Alliance FC waliyoshinda 4-1
Nahodha John Raphael Bocco akiwaongoza wenzake kutoka baada ya kuwasili na chini ni beki Shomari Kapombe
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment