Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Port Vale kwenye mchezo wa Raund ya Tatu Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Oleksandr Zinchenko dakika ya 20, Taylor Harwood-Bellis dakika ya 58 na Phil Foden dakika ya 76, wakati bao pekee la Port Vale limefungwa na Tom Pope dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City 'are already preparing for life after Pep Guardiola' and believe
Girona's Michel could be the man to 'continue his legacy' after stunning
season in LaLiga
-
The club are working on a succession plan for their manager, whose contract
expires in the summer of 2025. Guardiola hinted he could extend his deal at
the...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment