Mshambuliaji Mfaransa Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za 72 na 90 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Ibiza ya Segunda B iliyotangulia kwa bao la Pep Caballe dakika ya tisa Uwanja wa Manispaa ya Can Misses katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bo Nix selected by Denver Broncos at No. 12 in 2024 NFL Draft, making it
SIX quarterbacks selected in first round
-
Oregon quarterback Bo Nix was selected 12th overall in Thursday's NFL Draft
by the Broncos - marking the sixth passer taken in the first round.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment