Beki wa umri wa miaka 22, Mcanada Fikayo Tomori akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Mitchy Batshuayi kufunga la kwanza dakika ya sita katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Hull City ambayo bao lake lilifungwa na Kamil Grosicki dakika ya 78 kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa KCOM PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Girona stars rushed to hospital after nasty training ground accident
with coach Michel admitting 'it looks bad'
-
Brazil international Yan Couto, 21, and Spanish centre-back Juanpe, 32,
both suffered injuries with coach Michel saying their situation 'looks bad'.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment