Mshambuliaji Mmisri Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 90 na ushei kufuatia beki Mholanzi, Virgil Van Dijk kufunga la kwanza dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa Anfield hivyo kuendelea kuongoza ligi hiyo kwa pointi 16 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea host Man Utd in Women's FA Cup - see full fifth-round draw
-
Holders Chelsea will take on Manchester United in the fifth round of the
Women's FA Cup - a repeat of last year's final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment