Azam FC ya Dar es Salaam imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, bao pekee la mshambuliaji wake, Shaaban Iddi Chilunda dakika ya 20 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambao wenyeji walipoteza mkwaju wa penalti baada ya Gerald Mathias kupiga nje dakika ya tano
Olivier Giroud completes free summer transfer to LAFC from AC Milan ahead
of Euro 2024
-
According to transfer guru Fabrizio Romano, Giroud signed a contract to
join the LA-based MLS team on Tuesday, just a month after verbally agreeing
to join...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment