Azam FC ya Dar es Salaam imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, bao pekee la mshambuliaji wake, Shaaban Iddi Chilunda dakika ya 20 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambao wenyeji walipoteza mkwaju wa penalti baada ya Gerald Mathias kupiga nje dakika ya tano
Chelsea host Man Utd in Women's FA Cup - see full fifth-round draw
-
Holders Chelsea will take on Manchester United in the fifth round of the
Women's FA Cup - a repeat of last year's final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment