Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment