Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment