Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Diana Msemwa (kulia) akishangilia na Protasia Mbunda baada ya kuifungia Tanzanites bao la kwanza katika ushnidi wa 2-1 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2020. Bao la pili la Tanzania limefungwa na wakati la Opa Clement, wakati la Uganda limefungwa na Julieth Nalukenge. Sasa Tanzanites watatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo kwenye mchezo wa marudiano Uganda ili kusonga mbele
Man City's Double Treble quest could still disintegrate into nothing after
penalty heartbreak against Real... Pep Guardiola must rally his troops -
but a crucial week has just got bigger, writes JACK GAUGHAN
-
JACK GAUGHAN AT THE ETIHAD: Bernardo Silva did fire a warning earlier in
the week. A warning of what lay around the corner. A warning that a
potential Treb...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment