Kiungo Mreno, Bruno Fernandes (kulia) akisaini mkataba wa miaka mitano na nusu kujiunga na Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya kwao, Ureno kwa dau la Pauni Milioni 46.6, ambalo linaweza kupanda hadi Pauni Milioni 68. Kushoto ni kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ambaye ana matumaini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ataisaidia timu yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stuart Attwell WILL referee this weekend as the Premier League stand by the
under-fire official after Nottingham Forest furiously questioned his
integrity on VAR duty
-
The Premier League has confirmed that Stuart Attwell will referee as
planned this weekend, despite Nottingham Forest furiously questioning his
integrity wh...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment