Jason Cummings akishangilia baada ya kuifungia Shrewsbury Town mabao mawili dakika za 65 kwa penalti na 75 kuisaidia kupata sare ya 2-2 na mabingwa wa Ulaya, Liverpool katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Montgomery Waters Meadow. Liverpool ilitangulia akwa mabao ya Curtis Jones dakika ya 15 na Donald Love aliyejifunga kwa bahati mbaya dakika ya 46 na sasa timu hizo zitarudiana Uwanja wa Anfield kuwania kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Portugal to switch game against Azerbaijan to Italy, Premier League stars will AVOID quarantine
-
Liverpool boss Jurgen Klopp had already indicated he would ask his stars to
avoid playing matches in countries on the UK's 'red list' - and Portugal
have m...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment