Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akishangilia baada ya kuifungia Difaa Hassan El-Jadida bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Rapide Oued Zem ambayo bao lake lilifungwa na winga wa Mali, Abdoulaye Diarra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu Botola Pro usiku wa jana Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan.
We have put the first leg aside – Dreams FC coach Karim Zito ahead of
Zamalek clash
-
Dreams FC coach Karim Zito expresses determination to move past the outcome
of the first leg as they gear up for their crucial clash against Zamalek in
the...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment