Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akishangilia baada ya kuifungia Difaa Hassan El-Jadida bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Rapide Oued Zem ambayo bao lake lilifungwa na winga wa Mali, Abdoulaye Diarra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu Botola Pro usiku wa jana Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan.
Gary Lineker, Dion Dublin and Ian Wright poke fun at Arsenal striker Alexandre Lacazette
-
It was an obvious exaggeration of French forward Lacazette's cries of pain
after being on the receiving end of an Erik Pieters challenge during
Arsenal's 1...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment