Manahodha John Bocco wa Simba SC (kushoto) na Juma Abdul wa Yanga (kulia) katika mkutano maalum na Waandishi wa Habari kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya watani hao wa jadi kuanzia Saa 11:45 jioni ya kesho Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Kocha wa Simba, Mbelgiji Sven Ludwig Vandenbroeck (katikati) akizungumza jambo kwenye mkutano na Waandishi wa Habari leo. Kulia n kocha wa Yanga Charles Boniface Mkwasa
Sven Ludwig Vandenbroeck (kushoto) akiwa na Nahodha wake, John Bocco, Nahodha wa Yanga, Juma Abdul pamoja na kocha wa mahasimu wake, Charles Boniphace Mkwasa
Former Boston Red Sox player and World Series winner Dave McCarty dies aged
54 after 'cardiac event' in California
-
Former Boston Red Sox player and 2004 World Series winner Dave McCarty has
died at the age of 54 after a 'cardiac event' in California.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment